Wednesday, December 03, 2014
TOKOMEZA UNYANYASAJI NA UKATILI KWA WATOTO WADOGO
matukio kama haya ukatili juu ya wtoto wadogo yameendelea kutokea katika maeneo mengi duniani,mfano like tukio la kule nchini uganda mtotot kuteswa na dada wakazi za ndani katika picha hii ni mtoto aliyeuwawa kikatili huko mkoani mara kwa kuchinjwa na mama yake wa kambo...je jamii inapambana vipi kutokomeza ukatiki huu? kila mtu atafakari kwa sehemu yake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment