French Montana AMETAJWA kuwa baba mbaya baada ya kumtelekeza mototo wake wakiume na mke wake kisha kula bata na madem wengine
Kauli hiyo imetolewa na marafiki wa
karibu wa mke wake wa zaman wa Frenchi Montana
Nadeen Kharpouch...na kuongeza kuwa kuna wakati Montana aliwatoroka mke na mototo wake kwa miezi 7
Nadeen Kharpouch...na kuongeza kuwa kuna wakati Montana aliwatoroka mke na mototo wake kwa miezi 7
Mke huyo amabaye ameshapewa talaka amesema kuwa jamaa amekuwa akitumia mali walizochuma ,kumnunulioa khloe ambaye ndio mpenzi wake wa sasa na ambaye pia ni dada wa kim kadashian vitu vya bei mbaya
0 comments:
Post a Comment